Tag: Code za mitandao ya simu Tanzania

Code za mitandao ya simu Tanzania (Ni Mtandao Gani)

Filed in Makala by on September 2, 2025 0 Comments
Code za mitandao ya simu Tanzania (Ni Mtandao Gani)

Code za mitandao ya simu Tanzania (Ni Mtandao Gani) Katika Tanzania, kila mtandao wa simu una code maalum (au prefix) zinazotambulisha namba zao. Mara nyingi watu wanapopokea simu au kuona namba mpya, hutaka kujua haraka kama namba hiyo ni ya Vodacom, Airtel, Tigo, Halotel, TTCL, Zantel au Smile. Kujua code za mitandao ya simu Tanzania […]

Continue Reading »