MABADILIKO Ya Eneo La Usaili Mkoa Wa Ruvuma
MABADILIKO Ya Eneo La Usaili Mkoa Wa Ruvuma
Wasailiwa wote walioitwa kwenye usaili utakaofanyika kwa njia ya Mtandao (OATS) Mkoa wa Ruvuma mnajulishwa kuwa kuna mabadiliko ya eneo la usaili.
Usaili utafanyika VETA- SONGEA badala ya Chuo cha Ualimu Songea kama ilivyoainishwa kwenye akaunti zenu za ajira portal. Muda na tarehe utabaki hivyohivyo kama ilivyoainishwa kwenye tangazo la kuitwa kwenye usaili.