KIKOSI Cha Yanga vs Simba Leo Jumanne 16 September 2025

Filed in Michezo by on September 15, 2025 0 Comments

KIKOSI Cha Yanga vs Simba Leo Jumanne 16 September 2025

KIKOSI Cha Yanga vs Simba Leo Jumanne 16 September 2025

Leo Yanga Sc inaenda kuikabiri klabu ya Simba katika mchezo wa Ngao ya Jamii kwa msimu mpya wa mwaka 2025.

Mchezo huu utachezwa leo Jumanne ya tarehe 16 September 2025 katika uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam Kuanzia majira ya saa 11:00 za jioni.

Kuelekea mchezo huu blog yako pendwa ya kimichezo ya Fursa24 itakuletea kikosi Yanga kitakachoenda kucheza dhidi ya klabu ya Simba kwenye mchezzo huo wa Ngao ya Jamii 2025.

KIKOSI Cha Yanga vs Simba Leo Jumanne 16 September 2025

Kikosi rasmi kinatarajiwa kutangazwa lisaa limoja kabla ya kuanza kwa mchezo nasi mara tu baada ya kikosi kuwekwa wazi tutakuletea hapa.

Hivyo usiache kutembelea mara kwa mara kurasa hii ili kuweza kutazama kikosi hicho

Hapa chini ni kikosi kipya cha wachezaji wa Yanga Sc kwa msimu wa 2025/2026 ambacho miongoni mwake ndipo kitakapo undwa kikosi kitakacho cheza na Simba Sc.

  1. Djigui Diarra
  2. Dickson Job
  3. Bakari Mwamnyeto
  4. Ibrahim Abdallah
  5. Pacome Zouzoua
  6. Mudathir Yahya
  7. Max Nzengeli
  8. Prince Dube
  9. Clement Mzize
  10. Israel Mwenda
  11. Denis Nkane
  12. Duke Abuya
  13. Abuutwalib Mashery
  14. Aziz Andambwile
  15. Lassine Kouma
  16. Moussa Balla Conte
  17. Offen Chikola
  18. Abdulnasir Abdallah Mohamed
  19. Andy Boyeli
  20. Celestine Ecua
  21. Mohamed Doumbia
  22. Mohamed Hussein
  23. Frank Assink

Tags:

About the Author ()

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *