KIKOSI Cha Simba Msimu wa 2025/2026

Filed in Michezo by on August 31, 2025 0 Comments

KIKOSI Cha Simba Msimu wa 2025

KIKOSI Cha Simba Msimu wa 2025/2026

Klabu ya Simba SC imejipanga vyema kwa msimu wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara 2025/2026 pamoja na mashindano ya kimataifa. Kikosi hiki kimeimarishwa kwa wachezaji wa ndani na wale wa kigeni wenye uzoefu mkubwa.

Kikosi Kamili cha Simba SC Msimu wa 2025/2026

Hapa chini ni orodha ya majina ya wachezaji wapatao 28 ambao ndio wanaunda kikosi kipya cha Simba Sc kwa Msimu huu mpya wa 2025/2026

  1. Moussa Camara
  2. Hussein Abel
  3. Shomari Kapombe
  4. Anthony Mligo
  5. Karaboue Chamou
  6. Rushine De Reuck
  7. Abdurazack Hamza
  8. Yusuph Kagoma
  9. Jonathan Sowah
  10. Elie Mpanzu
  11. David Kameta
  12. Mohamed Mussa
  13. Jean Charles Ahoua
  14. Alassane Kante
  15. Steven Mukwala
  16. Joshua Mutale
  17. Mzamiru Yassin
  18. Morice Abraham
  19. Awesu Awesu
  20. Valentino Mashaka
  21. Hussein Daudi Semfuko
  22. Mohamed Bajaber
  23. Anthony Mligo
  24. Naby Camara
  25. Ahmed Pipino
  26. Yakoub Suleiman
  27. Seleman Mwalimu
  28. Neo Maema

Maelezo Muhimu

  • Simba SC inalenga kurejesha ubingwa wa Ligi Kuu NBC na kufika mbali kwenye CAF Champions League.

  • Usajili mpya umefanyika kwa kuzingatia kuongeza nguvu sehemu ya ushambuliaji na ulinzi.

  • Kikosi kina wachezaji wenye uzoefu wa kimataifa na vijana chipukizi kutoka Tanzania.

Tags:

About the Author ()

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *