KIKOSI Cha Simba vs Yanga Leo Jumanne 16 September 2025

Filed in Michezo by on September 15, 2025 0 Comments

KIKOSI Cha Simba vs Yanga Leo Jumanne 16 September 2025

KIKOSI Cha Simba vs Yanga Leo Jumanne 16 September 2025

Leo Simba Sc inaenda kuikabiri klabu ya Yanga katika mchezo wa Ngao ya Jamii kwa msimu mpya wa mwaka 2025.

Mchezo huu utachezwa leo Jumanne ya tarehe 16 September 2025 katika uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam.

Kuelekea mchezo huu blog yako pendwa ya kimichezo ya Fursa24 itakuletea kikosi kitakachoenda kucheza dhidi ya klabu ya Yanga kwenye mchezzo huo wa Ngao ya Jamii 2025.

KIKOSI Cha Simba vs Yanga Leo Jumanne 16 September 2025

Kikosi rasmi kinatarajiwa kutangazwa lisaa limoja kabla ya kuanza kwa mchezo nasi mara tu baada ya kikosi kuwekwa wazi tutakuletea hapa.

Hivyo usiache kutembelea mara kwa mara kurasa hii ili kuweza kutazama kikosi hicho

Hapa chini ni kikosi kipya cha wachezaji wa Simba Sc kwa msimu wa 2025/2026 ambacho miongoni mwake ndipo kitakapo undwa kikosi kitakacho cheza na Yanga Sc.

  1. Moussa Camara
  2. Yakoub Suleiman
  3. Hussein Abel
  4. Ally Salim
  5. Shomari Kapombe
  6. Anthony Mligo
  7. Miraji Abdallah ‘Zambo’
  8. Karaboue Chamou
  9. Rushine De Reuck
  10. Abdurazack Hamza
  11. Yusuph Kagoma
  12. Jonathan Sowah
  13. Neo Maema
  14. Elie Mpanzu
  15. David Kameta
  16. Mohamed Mussa
  17. Jean Charles Ahoua
  18. Alassane Kante
  19. Steven Mukwala
  20. Joshua Mutale
  21. Mzamiru Yassin
  22. Morice Abraham
  23. Awesu Awesu
  24. Valentino Mashaka
  25. Hussein Daudi Semfuko
  26. Mohamed Bajaber
  27. Naby Camara
  28. Ahmed Pipino
  29. Seleman Mwalimu
  30. Wilson Nangu
  31. Vedastus Paul Masinde

Tags:

About the Author ()

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *